Close Menu
Msomi BoraMsomi Bora
    Msomi BoraMsomi Bora
    Button Login
    • HOME
    • NOTES
    • PAST PAPERS
    • BOOKS
    • OTHERS
    • KENYA
    • CONTACT US
    Msomi BoraMsomi Bora
    • HOME
    • NOTES
    • PAST PAPERS
    • BOOKS
    • OTHERS
    • KENYA
    • CONTACT US
    Home»Chuo Tips»Je, Unaweza Kubadilisha Kozi Ukifika Chuo Kikuu? – Tazama Hapa
    Chuo Tips

    Je, Unaweza Kubadilisha Kozi Ukifika Chuo Kikuu? – Tazama Hapa

    Msomi BoraBy Msomi BoraSeptember 9, 20261 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr WhatsApp VKontakte Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Je, Unaweza Kubadilisha Kozi Ukifika Chuo Kikuu? – Tazama

    JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
    JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

    Kwa upande wa Vyuo vya Private huenda kusiwe na shida sana, lakini kwa upande wa Vyuo vya Serikali kazi ipo, tena sio ndogo.

    Ninakuu kutoka kwenye post ya Mdau mmoja wa Jamii Forums:

    “natoa angalizo hii iliwahi kunikuta na mimi ni mmoja kati ya wahanga niliochaguliwa first round mwaka 2011 nilipofika chuoni nilitaka kubadili lakini uongozi wa chuo uligoma….kuna vyuo kama Mhimbili,,UDSM,,SUA ,,udom ubadilishaji wa course ni mgumu sana maranyingi unategemea mtu ahame course moja kwenda nyingine yaani EXCHANGE…(double coincidence ) kama barter trade ..wewe unataka mihogo una karanga…kwaio tafuta mwenye mihogo ili umpe karanga…ila sijajua kwa vyuo vingine lakin kwa tahadhari hakikisha unajaza course unayoipenda hata kama huipendi jiandae kisaikolojia kuipenda vinginevyo nakushauri usubiri utajaza mwakani,,elimu haina mwisho“

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr WhatsApp Email
    Previous ArticleKama Hujachaguliwa Chuo Kikuu Awamu Ya Kwanza – Nini Ufanye Sasa? Tazama Hapa
    Next Article Fine Art for Form One | All Topics | Full Notes
    Msomi Bora
    • Website

    Related Posts

    Kama Hujachaguliwa Chuo Kikuu Awamu Ya Kwanza – Nini Ufanye Sasa? Tazama Hapa

    September 9, 2026

    Je, Ukisoma Shule za Private, Unapata Mkopo au Haupati?

    July 20, 2026

    NACTVET – Kitabu cha Muongozo wa Kuchagua Kozi | Admission Guidebook for Certificates and Diplomas 2026/2027

    July 15, 2026

    Link za Vyuo Vikuu vyote – Tuma Maombi Yako | Admission Link for University application 2026/2027

    July 15, 2026

    TCU – Kitabu cha Muongozo wa Kuchagua Kozi | Admission Guidebook for Bachelor’s Degree 2026/2027

    July 15, 2026

    Kozi zenye Kipaumbele Kikubwa cha Kupata Mkopo – Hapa Serikali Haichomoki

    July 13, 2026

    Mambo Muhimu ya Kuzingatia kabla Hujachagua Kozi ya Kusoma Chuo Kikuu

    July 13, 2026

    Kozi Zenye Wakaka Wazuri na Warefu | Maajabu Vyuo Vikuu

    July 13, 2026

    Kozi Zenye Warembo Wengi na Visura | Maajabu Vyuo Vikuu

    July 13, 2026

    Vyuo Vikuu Vinavyoongoza kwa Rushwa ya Ngono hapa Tanzania

    July 13, 2026
    Clickable WP Image
    • Complaints
    • CONTACT US
    © 2026 Copyright. All Rights are Reserved. Msomi Bora.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.

    Sign In or Register

    Welcome Back!

    Login to your account below.

    Lost password?