Close Menu
Msomi BoraMsomi Bora
    Facebook X (Twitter) Instagram Threads WhatsApp
    Msomi BoraMsomi Bora
    • HOME
    • NOTES
    • PAST PAPERS
    • BOOKS
    • OTHERS
    • KENYA
    • CONTACT US
    Msomi BoraMsomi Bora
    Home»Chuo Tips»Vyuo Vikuu Vinavyoongoza kwa Rushwa ya Ngono hapa Tanzania
    Chuo Tips

    Vyuo Vikuu Vinavyoongoza kwa Rushwa ya Ngono hapa Tanzania

    July 13, 2026Updated:July 20, 20261 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp

    Vyuo Vikuu Vinavyoongoza kwa Rushwa ya Ngono hapa Tanzania

    JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
    JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

    Chanzo: Mwananchi

    Mmomonyoko wa maadili na matumizi mabaya ya madaraka, vimetajwa kuwa vyanzo vya kuwapo kwa rushwa kubwa ya ngono katika vyuo vikuu viwili nchini:

    1. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

    2. Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom).

    Hayo yamebainika kufuatia utafiti uliofanywa na Mfuko wa Wanawake Tanzania (WFT) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) katika kipindi cha Januari na Februari mwaka huu.

    Akielezea kwa kina matokeo ya utafiti huo, mwendesha mashitaka wa Takukuru, Denis Lakayo alisema kuwa utafiti huo ulihusisha wahojiwa 589, ambapo 352 walitoka UDSM na 237 kutoka Udom.

    Soma zaidi, BONYEZA HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp
    Previous ArticleKozi Zinazoongoza kwa Rushwa ya Ngono | Maajabu Vyuo Vikuu
    Next Article Kozi Zenye Warembo Wengi na Visura | Maajabu Vyuo Vikuu

    Related Posts

    Je, Unaweza Kubadilisha Kozi Ukifika Chuo Kikuu? – Tazama Hapa

    September 9, 2026

    Kama Hujachaguliwa Chuo Kikuu Awamu Ya Kwanza – Nini Ufanye Sasa? Tazama Hapa

    September 9, 2026

    Je, Ukisoma Shule za Private, Unapata Mkopo au Haupati?

    July 20, 2026

    NACTVET – Kitabu cha Muongozo wa Kuchagua Kozi | Admission Guidebook for Certificates and Diplomas 2026/2027

    July 15, 2026

    Link za Vyuo Vikuu vyote – Tuma Maombi Yako | Admission Link for University application 2026/2027

    July 15, 2026

    TCU – Kitabu cha Muongozo wa Kuchagua Kozi | Admission Guidebook for Bachelor’s Degree 2026/2027

    July 15, 2026

    Kozi zenye Kipaumbele Kikubwa cha Kupata Mkopo – Hapa Serikali Haichomoki

    July 13, 2026

    Mambo Muhimu ya Kuzingatia kabla Hujachagua Kozi ya Kusoma Chuo Kikuu

    July 13, 2026

    Kozi Zenye Wakaka Wazuri na Warefu | Maajabu Vyuo Vikuu

    July 13, 2026

    Kozi Zenye Warembo Wengi na Visura | Maajabu Vyuo Vikuu

    July 13, 2026
    Clickable WP Image
    • Complaints
    • CONTACT US
    © 2026 Copyright. All Rights are Reserved. Msomi Bora.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.