Chuo Tips

Kozi Zenye Warembo Wengi na Visura | Maajabu Vyuo Vikuu

Degree Zenye Warembo Wengi na Visura | Maajabu Vyuo Vikuu

JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

Kuna kozi zipo Vyuo Vikuu yaani ni kama zinafanana na hao wanaosoma hizo Kozi. Tumekuletea Kozi ambazo zina Wasichana warembo mno ukilinganisha na kozi zingine

Tazama hizi Kozi kisha utupe maoni yako

1. Utalii (Tourism)

2. Habari (Journalism and Mass Communication)

3. Sayansi ya Jamii (Sociology)

4. Saikolojia (Psychology)

5. Ualimu (Bachelor of Education): Huchukua idadi kubwa zaidi ya wanafunzi wa kike. Inapatikana katika vyuo vingi kama vile Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

6. Sayansi ya Afya na Uuguzi: Hapa utawakuta warembo wengi wanaosomea udaktari, maabara, na hasa uuguzi. Vyuo vinavyoongoza ni pamoja na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS).

7. Sheria (Bachelor of Laws – LLB): Kozi hii huvutia wanawake wengi wanaopenda taaluma za utetezi. Inapatikana UDSM na Chuo Kikuu cha Tumaini (Tumaini Makumira).

8. Utawala wa Biashara (Business Administration)

9. Rasilimali Watu (Human Resource)

10. Mahusiano ya Umma (Public Relations)

Leave a Comment

error: Content is protected !!