Chuo Tips

Degree Zisizo na Ajira – Ukisoma Hizi Kozi, Imekula Kwako

JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

Sio kila Degree iliyopo Chuo Kikuu ukiisoma basi utapata ajira, kuna degree zingine soko lake lilikuwa kubwa enzi za Mwalimu Nyerere kipindi hicho Wasomi walikuwa wachache, kwahiyo yoyote tu aliyesoma chuo kikuu basi ni lazima tu angapata ajira wakati ule.

Degree za Masomo – Kwa hapa Tanzania epuka sana kusoma Degree zinazobea kwenye Somo fulani, yaani yale masomo yanayofundishwa mashuleni primary na secondary. Ukiona degree imebobea kwenye Somo fulani basi hakikisha hapo kuna Ualimu (Education), na uone kabisa Education imeandikwa kwenye hilo jina la Degree, kama hakuna Ualimu basi achana na hiyo degree haraka sana. Sio rahisi ukaona Taasisi yoyote ya Serikali au binafsi inatangaza Ajira kwa Wasomi wenye hizo Degree.

Kuna Degree zinatajwa hazina Ajira nchini Kenya, kwa kuwa Tanzania na Kenya ni majirani na tunafanana mambo mengi, tazama hizi Degree na uchukue hatua kama vipi.

1. Chemical Engineering

2. Mass Media

3. Political Science

4. Sport Science

5. Psychology and Counselling

6. Theology

7. Criminology

8. Hospitality

9. Art courses

10. Physical Education

11. Anthropology

12. Library

13. Records Management

14. Animal Husbandry

15. Forestry

16. Meteorology

17. Environmental Science

18. Bachelor of Commerce (BCOM)

19. Masters of Business Administration (MBA)

Leave a Comment

error: Content is protected !!